



Cheki Nyomi la watu Lilivyobamba siku ya Fiesta Tanga yani Ilikuwa Full Kujiramba, Kuanzia wenyeji kina Matonya, wagosi wa kaya Danny Msimamo mpaka kina Chid Benz waliwakilisha...pata Uhondo kidogo ilivyokuwa....
Kitafahamika Kama Sio Kujulikana!!!Kwa Habari Za Michezo Burudani Nje Na Ndani Ya Bongo Ingia Itajulikana Kila Siku!!
2 comments:
E bwana wakilisha tupate mambo mapya kila baada ya dakika si mchezo mwana...Nimekukubali Mbaya mzazi...
sisi tunasubiri watatuletea nani mwaka huu!!!...
Post a Comment