
Jamani mabinamu wa kweli sasa huyu tumute sister au bibi??Na je hapa ana chat??Anasoma barua pepe??Au ni kitu gani kinaendelea kwa sister bibi huyu??Tusaidizane mabinam wa kweli.
Kitafahamika Kama Sio Kujulikana!!!Kwa Habari Za Michezo Burudani Nje Na Ndani Ya Bongo Ingia Itajulikana Kila Siku!!
3 comments:
huju naona huyu ni sister tereza.na yuko busy anabeshuza about churh.je papa mpya ataitw nani?au wenzangu mnaonaje
mmh...huo mtihani mabinamu...no comments!!
Mumu jamani muache bibi yangu...Mwenyewe ananitafutia babu kupitia mtandao!!Mambo ya chatiin hayo!!
Post a Comment