mamboz!!hili ni onesho lililokusanya wanamuziki wa kizazi kipya nchini ambao ni Dully Sykes,Jay Moe,Mangwea,Mchizi Mox pamoja na Makamua na linatarajia kufanyika tarehe 24 mwezi huu ndani ya ukumbi wa ROYAL VILLAGE pale mkoani Dodoma.Zawadi mbalimbali zitatolewa kutoka kinywaji cha Ndovu Special Malt.Wakazi wa Dodoma ni zawadi maalumu kwao!wakae mkao wa kupokea vyuma hatari siku hiyo ya mkesha wa siku ya Chrismas.
UNAITWA USIKU WA KUJIACHIA NA NDOVU
16 years ago