Tuesday, December 16, 2008

UNAITWA USIKU WA KUJIACHIA NA NDOVU


mamboz!!hili ni onesho lililokusanya wanamuziki wa kizazi kipya nchini ambao ni Dully Sykes,Jay Moe,Mangwea,Mchizi Mox pamoja na Makamua na linatarajia kufanyika tarehe 24 mwezi huu ndani ya ukumbi wa ROYAL VILLAGE pale mkoani Dodoma.Zawadi mbalimbali zitatolewa kutoka kinywaji cha Ndovu Special Malt.Wakazi wa Dodoma ni zawadi maalumu kwao!wakae mkao wa kupokea vyuma hatari siku hiyo ya mkesha wa siku ya Chrismas.

Thursday, December 11, 2008

TID AUBAMBA MSAMAHA WA JK!!


Mwanamuziki wa miondoko ya kizazi kipya(Bongo Flava)Khalid Mohamed au ajulikanavyo na wengi kama TID ameachiwa huru kupitia msamaha wa rais baada kutumikia kifungu tangu Julai 23 ya mwaka huu baada ya kukapatikana na kosa la kujerui .TID ni miongoni mwa wafungwa 4,306 waliula zali hilo la msamaha wa rais Jakaya Kikwete.

Saturday, December 6, 2008

Muumin Mwijuma Kurudisha Heshima Kwa Sweet Baby.



Mwanamuziki wa Dansi nchini Mwinjuma Muumin anatarajia kurudisha heshima kama ilivyo kipindi cha enzi ya"Tunda".
Mwanamuziki huyo ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya African Revolution aliambia Itajulikana kua yupo katika kambi na bendi yake kwa maandalizi makali ya ujio wa mfumo mpya ambao ameahidi utafunika mbaya muziki wa dansi na kuweza kurudisha heshima kama ilikua enzi ya nyimbo ya "Tunda"Kibao "Sweet Baby"amekitaja kua ni miongoni mwa vibao anavyoamini kua vitamrudisha tena na kua juu.
Haya kaka wapenzi wa muziki wanasubiri kwa hamu ujio huo.

Friday, December 5, 2008

Roxanne And Kangol,Sittin' In A Tree....


It’s been 25 years since he rapped “I thought I had it in the palm of my hand / But man oh man, if I was grand I’d bang Roxanne,” but Kangol finally got close to the lady he and the rest of UTFO rhymed about on “Roxanne, Roxanne” all those years ago. The Real Roxanne and Kangol smooched at a show in NYC this week.
Kangol just sent an email out to all those wondering what the deal is - he doesn’t deny the kiss (how could he, anyway?) but he says “It’s only been four days since the first time we’ve seen each other in over ten years… so, It’s too soon to say if we’re dating or not.”
He also asks that we all go bother Beyonce and Jay-Z and leave him alone. You got it, Kid!

Saturday, November 29, 2008

Leaders Patakuwa hapatoshi siku hiyo


Mastaa kadhaa wa muziki kutoka Marekani wanatarajia kudondoka Bongo Dec 3 kwa ajili ya show ya kufa mtu kwenye tamasha linalofanyika kila mwaka lijulikanalo kama likizo Tyme.

Mastaa hao hatari, Joe Thomas, kundi maarufu la muziki wa R&B la Boyz II Men, wakali wa muziki wa ragga, Devonte na Tanto Mentro,mwanadada Tanya Stephan, watakamua kwenye tamasha hilo litakalofanyika katika viwanja vya Leaders' Club Dec 5.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Entertainment Masters Limited, Hellen Sweya, akiongea na Itajulikana lengo la kuwaleta wasani hao nyota ni kutoa fursa kwa Watanzania wa rika zote kupata burudani safi ya hadhi ya kimataifa. “Tunaahidi tamasha hilo litakuwa tofauti na matamasha yaliyopita ya Likizo Tyme kutokana na maboresho makubwa kuanzia waandaaji na onyesho lenyewe kuwa na jukwaa la hadhi ya kimataifa,” alisema Hellen.

Huu Kweli Mwaka wa Shetani


E bwana ni moja ya makundi yanayotesa kwenye muziki wa kizazi kipya hapa Bongo, mi mwenyewe ni mmojawapo wa ninaowakubali Nako 2 Nako lakini katika hali ambayo haikutegemewa na wapenzi wa muziki hapa Bongo kundi hili mahiri linaloundwa na wasanii Ibra da Hustler, Lord Eyez, G-Nako, Bu-Nako na Izzi-Nako limesambaratika juu chini.

Utafiti uliofanywa na Itajulikana hivi karibuni umebaini kuwa wasanii wa kundi hilo wamegawanyika vipande viwili na kila kimoja kuelekea upande wake kikubwa ikiwa ni kutoaminiana.

Ibra ametangaza kujitoa kundini sambamba na Bu-nako hali inayofanya Lord kubaki na G-Nako kwani Izzi hafahamiki yuko upande gani na huwa haonekani mara kwa mara.

Wasanii hao, wamekuwa wakimtuhumu kiongozi wao Lord Eyez kuwa ndie chanzo kikubwa cha mgawanyiko huo kutokana ubabe wake kimaamuzi.

Smell Wars:Diddy Vs. Jay



Diddy just unveiled an advertisement for his I Am King fragrance on the largest billboard ever to appear in New York City’s Times Square.
Diddy describes his new scent as “an untraditional fresh fruity woody scent,” combining “clean notes with sensual fruits and warm skin nuances.” He also says it “subtly surrounds the wearer in fresh comfort and attracts women to encounter

Friday, November 28, 2008

Madent India Full Raha


Wakati Bongo madent wanapata msoto katika swala la usafiri waendapo na watakapo mashuleni wenzetu India wao wanapeta kwa staili kama hii.

Binamu,Ngwea Jukwaa Moja Na Fat Joe.




Mzee wa Nipe Dili huweenda ikawa ni nafasi yake nyingine ya kuomba dili pale ambapo atapata nafasi ya kupanda jukwaa moja na wanamuziki maarufu wa miondoko ya Hip Hop toka inchini Marekani Fat Joe na mwanadada Eve tarehe nane ya wmezi ujao.Nafasi hiyo ya kusindikiza wanamuziki hao maarufu duniani pia imekwenda kwa wasanii wengine kama vile Joh Makini na Mwana FA.Ni matumaini ya watanzania kua wanamuziki hao toka nyumbani wataweza kuitumia nafasi hii vizuri ili kuweza kujitangaza zaidi kimuziki nche ya inchi.


Eve,Fat Joe Makamuzi Ndani Ya Bongo




Ni wakati mwengine kwa Wabongo wapendao Burudani kupata Uhondo toka kwa wana Hip Hop waishio Unyamwezini(USA)nao si wengine ila ni mwanadada Eve na mzee mzima Fat Joe.Katika kipindi cha mwaka jana na mwaka huu Bongo imejitoa kua safu za nyuma katika swala la Burudani katika Africa kwa kuweza kuwaleta wanamuziki mbali mbali toka anga za kwa Obama.Kama tutakumbuka wanamuziki kama vile Akon,50 Cent wameweza kukanyaga ardhi ya bOngo na kufanya maonyesho ambayo yamekua yakimeza nyomi la kueleweka.Ni wakati mwengine redio ipendwayo ya Clouds Fm inawaletea wasanii wawili maarufu Eve na Fat Joe siku ya tarehe 8 December.


Kazi kwenu wapendao burudani waishio Bongo.