Saturday, November 29, 2008

Leaders Patakuwa hapatoshi siku hiyo


Mastaa kadhaa wa muziki kutoka Marekani wanatarajia kudondoka Bongo Dec 3 kwa ajili ya show ya kufa mtu kwenye tamasha linalofanyika kila mwaka lijulikanalo kama likizo Tyme.

Mastaa hao hatari, Joe Thomas, kundi maarufu la muziki wa R&B la Boyz II Men, wakali wa muziki wa ragga, Devonte na Tanto Mentro,mwanadada Tanya Stephan, watakamua kwenye tamasha hilo litakalofanyika katika viwanja vya Leaders' Club Dec 5.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Entertainment Masters Limited, Hellen Sweya, akiongea na Itajulikana lengo la kuwaleta wasani hao nyota ni kutoa fursa kwa Watanzania wa rika zote kupata burudani safi ya hadhi ya kimataifa. “Tunaahidi tamasha hilo litakuwa tofauti na matamasha yaliyopita ya Likizo Tyme kutokana na maboresho makubwa kuanzia waandaaji na onyesho lenyewe kuwa na jukwaa la hadhi ya kimataifa,” alisema Hellen.

Huu Kweli Mwaka wa Shetani


E bwana ni moja ya makundi yanayotesa kwenye muziki wa kizazi kipya hapa Bongo, mi mwenyewe ni mmojawapo wa ninaowakubali Nako 2 Nako lakini katika hali ambayo haikutegemewa na wapenzi wa muziki hapa Bongo kundi hili mahiri linaloundwa na wasanii Ibra da Hustler, Lord Eyez, G-Nako, Bu-Nako na Izzi-Nako limesambaratika juu chini.

Utafiti uliofanywa na Itajulikana hivi karibuni umebaini kuwa wasanii wa kundi hilo wamegawanyika vipande viwili na kila kimoja kuelekea upande wake kikubwa ikiwa ni kutoaminiana.

Ibra ametangaza kujitoa kundini sambamba na Bu-nako hali inayofanya Lord kubaki na G-Nako kwani Izzi hafahamiki yuko upande gani na huwa haonekani mara kwa mara.

Wasanii hao, wamekuwa wakimtuhumu kiongozi wao Lord Eyez kuwa ndie chanzo kikubwa cha mgawanyiko huo kutokana ubabe wake kimaamuzi.

Smell Wars:Diddy Vs. Jay



Diddy just unveiled an advertisement for his I Am King fragrance on the largest billboard ever to appear in New York City’s Times Square.
Diddy describes his new scent as “an untraditional fresh fruity woody scent,” combining “clean notes with sensual fruits and warm skin nuances.” He also says it “subtly surrounds the wearer in fresh comfort and attracts women to encounter

Friday, November 28, 2008

Madent India Full Raha


Wakati Bongo madent wanapata msoto katika swala la usafiri waendapo na watakapo mashuleni wenzetu India wao wanapeta kwa staili kama hii.

Binamu,Ngwea Jukwaa Moja Na Fat Joe.




Mzee wa Nipe Dili huweenda ikawa ni nafasi yake nyingine ya kuomba dili pale ambapo atapata nafasi ya kupanda jukwaa moja na wanamuziki maarufu wa miondoko ya Hip Hop toka inchini Marekani Fat Joe na mwanadada Eve tarehe nane ya wmezi ujao.Nafasi hiyo ya kusindikiza wanamuziki hao maarufu duniani pia imekwenda kwa wasanii wengine kama vile Joh Makini na Mwana FA.Ni matumaini ya watanzania kua wanamuziki hao toka nyumbani wataweza kuitumia nafasi hii vizuri ili kuweza kujitangaza zaidi kimuziki nche ya inchi.


Eve,Fat Joe Makamuzi Ndani Ya Bongo




Ni wakati mwengine kwa Wabongo wapendao Burudani kupata Uhondo toka kwa wana Hip Hop waishio Unyamwezini(USA)nao si wengine ila ni mwanadada Eve na mzee mzima Fat Joe.Katika kipindi cha mwaka jana na mwaka huu Bongo imejitoa kua safu za nyuma katika swala la Burudani katika Africa kwa kuweza kuwaleta wanamuziki mbali mbali toka anga za kwa Obama.Kama tutakumbuka wanamuziki kama vile Akon,50 Cent wameweza kukanyaga ardhi ya bOngo na kufanya maonyesho ambayo yamekua yakimeza nyomi la kueleweka.Ni wakati mwengine redio ipendwayo ya Clouds Fm inawaletea wasanii wawili maarufu Eve na Fat Joe siku ya tarehe 8 December.


Kazi kwenu wapendao burudani waishio Bongo.

Saturday, November 22, 2008

"08 Bonnie Clyde,Hov And B"


Talk about a power couple. Beyonce and Jay-Z top the Forbes list of Hollywood’s top-earning celebrity couples, together earning $162 million between June 2007 and June 2008.
Hip-Hop’s royal couple raked in on almost twice as much as the number two couple, another Hip-Hop favorite, Will Smith and Jada Pinkett-Smith, who earned a combined $85 million.
Beyon-Jay beat out superstar couples David and Victoria Beckham and Tom Cruise and Katie Holmes.
Between Beyonce’s endorsement deals and her own House of Dereon and Jay’s 10-year, $150 million contract with Live Nation, it’s hard to say just who “upgraded” who.

Friday, November 21, 2008

"Kikongwe Nae Yumo"


Jamani mabinamu wa kweli sasa huyu tumute sister au bibi??Na je hapa ana chat??Anasoma barua pepe??Au ni kitu gani kinaendelea kwa sister bibi huyu??Tusaidizane mabinam wa kweli.

Thursday, November 20, 2008

"No Quiero Prolbemo Con Taco Bell


After 50 Cent filed a trademark infringement suit against Taco Bell, the fast food giant fired back with a countersuit calling him belligerent and arrogant.
In the suit, Taco Bell attorneys slammed 50 saying “Jackson has a well-publicized track record of making threats, starting feuds and filing lawsuits,” and calling him a “self–described former drug dealer and hustler” whose music is “associated with urban street gangs and characterized by violent, tough-talking braggadocio.” - That was way harsh, Taco Bell.
A while back, Taco bell approached 50 Cent challenging 50 to change his name to 79, 89 and 99 cent following the pricing for items on Taco Bell’s dollar menu, as well as rap an order at any Taco Bell location. Taco Bell offered to donate $10,000 to 50’s charity of choice and give all the patrons of the restaurant 50 visits a free meal.
The suit went on to state that Taco Bell did not use 50’s name or likeness in an advertising campaign but “because of the legitimate public interest in a charitable offer to a celebrity of Jackson’s stature, the Offer Letter was discussed with or provided to celebrity press outlets.”
Taco Bell says Jackson simply could have rejected the offer but instead is choosing to use the case as an “attempt at self promotion” and that he was trying to “burnish his gangsta rapper persona by distorting beyond all recognition a bona fide, good faith offer

"Nyumba Inauzwa".


Muonekano kwa Nje/

Hapa ni sehemu ya Sittingroom/


Hapa ni sehemu ya jikoni/



Nyumba inauzwa ipo maeneo ya Kimara-Baruti.



In jumla ya vyumba vitano vya kulala,Garage,Store rooms,Library ndogo pamoja na uwanja mkubwa.Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa simu kwa namba zifuatazo.



1.+255714505568



2.+31642377558.

"Naongea Na Wewe Ya Binamu Kwenye Video".


Mwanamuziki wa Kizazi Kipya(Bongo Flava)Hamis Mwinjuma "Mwana F.A(Binamu)hivi karibuni ameongea na kusema kuwa anatarajia kuja na video ya wimbo wa Naongea na Wewe.

Baada ya "Habari Ndo Hiyo" na "Bado Nipo Nipo" sasa ni "Naongea Na Wewe" videoni.Hizo zote ni nyimbo zake mpya ambazo zimo ndani ya album yake ya ""Mabibi na Mabwana"

Mwamba huyo wa miondoko ya Bongo Flava kwa sasa anabamba na pini lake la Bado Nipo Nipo ambayo inatamba katika vituo mbali mbali vya redio na television.

"Puma Celebrates Sixty Years"


Puma, established in 1948, is celebrating its 60th anniversary with a series of events across the country, including three free concerts.
If you’re in the New York area, check out, Charles Hamilton along with The Knux, Chester French and Jus Ske at Brooklyn’s Music Hall of Williamsburg on December 1.
Tickets for the show can be picked-up at the Puma Concept Store in NYC.

Wednesday, November 19, 2008

"Nature Aachiwa Kwa Dhamana".


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya(Bongo Flava)Juma Kassim maarufu (Juma Nature)amechiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na mizee(Polisi)baada ya kupatikana na shutuma za kujihusisha kimapenzi na binti wa chini ya umri wa miaka 18.

Sakata hilo lilimpata Nature baada ya binti huyo kupotea kwa siku nzima nyumbani kwao na ndipo wazazi walifuatilia waligundua kua binti huyo alikua akila raha na msanii Juma Nature.

Wazazi hao walichukua hatua ya kushtaki kwa mizee(Polisi)na bila ajizi walimtia mikononi.

Sasa mabinamu wa kweli hembu tukae chini tujiulize...Nini wanafanya wasanii wetu...Kazi ya sanaa pamoja na kuburudisha pia inaelimisha,,,Sasa ni elimu gani tuipatayo kwa mambo kama haya???Kama Nature kweli alifanya jambo hili basi liwe ni fundisho wa kwa wasanii wengine.Ni jambo la aibu.

"Females Earning Money".


Ladies stand up! FEM (Females Earning Money), the all female supergroup consisting of Lady Luck, former Da Band member Babs and the west coast’s own Rage, just dropped their debut mixtape: Set It Off – The F.E.M edition.
The mixtape, hosted and arranged by DJ Doo Wop and Shadyville DJ’s pays “homage to real Hip-Hop” and will feature FEM’d remixes to some new school hits and classic bangers like “Grindin” by The Clipse, Camp-Lo’s “Luchini” and Mobb Deep’s “Shook Ones.”
The collective of industry vets was established earlier this year by former female lyricist Uneek and former Yo! MTV Raps host, Ed Lover. Uneek discussed the motive behind the formation of the group saying: “Men do it all the time and now it’s our time to stand up, stand together and make some money. FEM gives these talented women an opportunity to come together as a movement to show the power that we have when we work as a team.”
The album will also feature guest spots by fellow female MCs Rah Digga, Bahamadia, Hedonis da Amazon and from VH1’s Miss Rap Supreme, Reece Steele.

"Pro Jay Kwenda Nigeria Leo".


MWANAMUZIKI maarufu wa Hip Hop nchini, Joseph Haule ‘ Profesa Jay’, anaondoka nchini leo kwenda Abuja, Nigeria kutumbuiza kwenye tuzo za muziki za MTV Africa Music Awards with Zain (MAMA).
Watakaochuana kuwania tuzo na Profesa Jay katika kundi la Hip Hop ni pamoja na TheGame na Lil Wayne kutoka Marekani, pamoja na HHP kutoka Afrika Kusini na 9Icekutoka nchini Nigeria.
Tuzo za Muziki za Afrika MTV/Zain (MTV Africa Music Awards with Zain) (MAMA) ni shoo mpya ya tuzo ambayo imeandaliwa na MTV kuenzi na kusherehekea muziki na utamaduni wa Afrika.
Tuzo za MTV Africa Music Awards with Zain zinaonyesha aina ya muziki unaopendwa na vijana, watazamaji wa MTV, kituo kinachotazamwa na zaidi wa watazamaji milioni 50 katika Afrika.
Tuzo hizi zimeadaliwa kwa ajili ya kunyanyua vipaji vya musiki wa wasanii Waafrika ndani na nje ya Afrika na ni fursa ya aina yake ya kuwaonyesha washabiki wa muziki wasanii wa Afrika na Kimataifa wanaotingisha dunia.
Washiriki wengine wa tuzo hizo ni pamoja na wasanii pacha wa Nigeria wa R&B ,P-Square.
Tuzo hizo ni pamoja na Kundi Bora, Video Bora, Msanii Bora wa Jukwaani, Mkali wa R&B, Msanii wa Mwaka

Odemba Kurejea Nchini Nov 24!!


Ni mrembo pekee aliyewahi kushika nafasi ya juu zaidi Afrika naameiwakilisha vizuri Tanzania kwani ameweza kutangaza utamaduni wetupamoja na utalii na hivyo kuonyesha heshima ya kipekee ya nchi yetu naArica kwa jumlaMrembo huyo aliweza kuwa mshindi wa pili ktk mashindano ya kumtwaa missEarth yaliyofanyika Phillpines wiki iliopita.Aidha miriam ondemba anatarajia kurejea nchini Nov 24.

Tuesday, November 18, 2008

"Taifa Stars Kukipiga Na Msumbiji Kesho"


Timu ya Taifa ya Tanzania(Taifa Stars)kesho itashuka uwanjai kukipiga na timu ya Taifa ya Msumbiji katika uwanja mpya wa Taifa ikiwa ni mchezo wa kirafiki wa kujinoa kabla timu hiyo ya Taifa Stars haijakutana na timu ya Sudan katika kuwania kufuzu kucheza Kombe La Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani.

"Lazima tushinde mechi na Msumbiji ili kuitisha Sudan kwani rekodi nzuri huogopesha kitu chochote unachotarajia kukutanza nacho"hayo yalisemwa na kocha mkuu wa timu hiyo Marcio Maximo kutoka inchi ya Brazil.

Kila la kheri Taifa Stars.

"Ngwea Kaanza Kukamata Mahela"


"Nipeni dili masela nikamate mahela".Ni miezi michache tu tangu mwanamuziki wa kizazi kipya toka kundi la Chamber Squard Albert Mangwea(Cow Boy)kuachia kitu cha Nipeni dili ambacho kinafunika vilivyo East Africa tayari Ameshanza kula mialiko ya show kibao za maana.
Ngwea aliongea na kusema kwamba kupitia mpini huo amerudi upya katika game huku akiwa anakamata mahela kwa kutokana na dili pamoja na show kibao.
"Nataka niwaonyeshe mashabiki wangu kwamba kimya kingi kina mshindo.Nilikua nikijapanga,sasa ni mpini juu ya mpini.
Pamoja na nipe dili pia kuna nyimbo nyingine kama Singida Dodoma,Mida Mibovu na nyingine kibao zinazopatikana katika album yake mpya ya "Nge 2800".
Pia ameeleza kua tayari ameshafanya video ya Nipeni dili kupitia kampuni ya Visual Lab na muda wowote kuanzia sasa itakua hewani.

Big Daddy Kane's 20th Anniversary!!


Monday, November 17, 2008

Labda After 10 years Ni Wewe!!!


Mabinamu wa kweli hivi ni nani anaweza hata kuniambia katika kipindi cha picha hii ilipopigwa kwamba Obama angeweza kua mpendwa wa wengi katika dunia hii kwa hivi sasa?? Ni Mungu tu mwenye elimu ya siri ndie pekee alilijua hili...No body knows...Lbda kesho ni wewe!!!Don give up!!

Tip Top wazamisha wawili Kisima Awards



Wasanii kutoka familia ya Tip Top Organization, Cassim na Z-Anto wametajwa kuwania tuzo maarufu zinazotolewa nchini Kenya, ‘Kisima Award’ kwa mwaka 2008/2009.

Tuzo hizo zimepangwa kufanyika Novemba 29 mwaka huu, ambako Cassim anayetamba hivi sasa na vibao vyake vya ‘Awena’ na ‘Sababu’, ametajwa kuwania kipengele cha wimbo bora wa mwaka kwa upande wa Tanzania, kupitia kibao chake cha ‘Haiwezekani’.

Wasanii wengine anaokabiliana nao na nyimbo zao kwenye mabano ni pamoja na Ali Kiba (Mac Muga), Matonya (Haiwezekani), Nakaaya Sumari (Mr. Politician), na TMK Wanaume Family (Dar Mpaka Moro).

Kwa upande wake, Z-Anto anayetamba na wimbo wake wa ‘Binti kiziwi’, ametajwa kupitia kibao hicho, kuwania tuzo ya video bora ya mwaka, ambako kipengele hicho kinawaniwa pia na TID (Nyota Yako), AY na Mwana FA (Nangoja Ageuke), Lady Jaydee (Siku Hazigandi) na Marlaw (Bembeleza).

Pia msanii Matonya, ametajwa kuwania tuzo ya wimbo bora wa ushirikiano, ambako wimbo wake wa ‘Anitha’ aliomshirikisha Lady Jaydee utawania pamoja na zile za ‘Una’ wa P Unit na DNA, ‘Mbali nami’ wa Juliana na Bushoke, ‘Kumekucha’ wa Nonini, Q Chillah na Prof Jay.

Matonya pia anawania tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume wa Afrika Mashariki, akiwa na Mejja, Nameless, Navio na Onyo Papa J, huku kwa upande wa wanawake, Lady Jaydee atachuana na Juliana Kanyomozi, Marion Shako, Nyota Ndogo na Stl.

Kadhalika, kundi la Wanaume TMK limeteuliwa kuwania kundi bora la Afrika Mashariki, sambamba na kundi la Klear Kut, P Unit, Ukoo Fulani na Wakenya Pamoja.

Tugawane Umasikini Iko Tayari


Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya Sir Juma Nature hivi karibuni amekwisha ikamilisha albamu yake ya tano itakayoitwa Tugawane Umasikini itakayokuwa na jumla ya nyimbo 12.

Juma Nature amezitaja nyimbo zilizomo ndani ya albamu hiyo ambayo amekiri wazi itakuwa ni ya kuotea mbali, kuwa ni Ofisa salama,Nimeshakwama,kukakaa maskani,siku za wiki,Burudika,nitakuwa mgeni wa nani na wimbo wa kilichokusibu.

Juma Nature mpaka sasa amekwishatoa albamu nne ambazo ni Nini Chanzo,Ugali, Ubinadamu kazi pamoja na albamu ya Historia.

Mama Politician Na Style Yake Kama Kawa.


Mwanamuziki wa kike wa miondoko ya Bongo flava(muziki wa kizazi kipya) ambaye ni miongoni mwa wanamuziki wa miondoko hiyo ambaye yupo juu kwa sasa Nakaaya Sumari au mama Politician amenena live kua hataacha style yake ya kuvaa nguo za nusu uchi."Hi ni style yangu ya kuvaa tangu nipo mdogo...sito acha hata nikiolewa."

Akizungumza Nakaaya alisema anakerwa na kushangazwa sana na tabia ya watu wanaomuandama juu ya uvaaji wake.Nakaaya amewahabarisha kwa kusema kwamba wachonge tu ila yeye hatoacha kuvaa ngou hizo.

Katt Williams' Psychiatric Evaluation.



Hopefully your weekend was better than Katt Williams’.
The comic was reportedly evaluated at a South Carolina psychiatric facility after exhibiting strange behavior.
Employees at a Sumter, SC motel called police after Williams showed up wearing a bathrobe and a towel on his head requesting a room. Police did respond, but left after determining there was no crime.
After visiting a lawyer’s office, Williams was taken to a psychiatric hospital by law enforcement at the urging of his family.

Sunday, November 16, 2008

Wayne Live At The CMAs



Lil Wayne claims another title in the name of Hip-Hop: the first true Hip-Hop artist to perform live at the CMAs. Yes you read the right the Country Music Awards. Wayne teamed up with Kid Rock for a live performance of Rock’s summer jam “All Summer Long.” The duo preformed the same song earlier this year at MTV’s Video Music Awards.
Interestingly, Weezy didn’t drop a single bar. Instead the “best rapper alive” strummed a guitar alongside the bands actual guitarist. With the Crater III currently the best selling album of the year at 4 “milli” sold, just being on stage in the vicinity of Wayne is enough to make a hot show.

Kenye's Photog Saga Continues.



Now why would a rapper so into keeping it fresh have a problem with getting his picture taken?
Kanye was arrested in his Newcastle, England hotel room earlier this morning for allegedly assaulting a paparazzo outside of Tup Tup nightclub. He was later released without being charged.
Now the first time Kanye was arrested for scuffling with the paparazzi he took to his blog to say he was “cool with the paparazzi.” He hasn’t said anything on this incident yet – but we’re staying tuned.

Tuesday, November 11, 2008

Fiesta FULL Kujiramba Bongo

Tabasamu nipate furaha.....nae alikuwepo...Blue
Nzombe Matembele....Hahaha Ngwasuma Full Kujiramba.....
Mzee wa kimya kimya akiwa na Mansu Li jukwaaani
Kat de Luna funikwa bovu na ngwea kumbe wabongo tunaweza....lazima itajulikana tu siku moja
Maunda zorro nae alikuwepo....
Lordeyz wa nako 2 nako akiwakilisha jukwaani...wewe wewe ndio mchiz waaangu
Sister P alichonga sana wapi Yupo?....Jamaa anauliza....Mwana FA

Nipeni Deal Masela....Nipeni deal Masela tukamate Mahela....Mchizi Ngwea akisabaisha on the stage pamoko na makachala wa East Zuu....


Cheki watu walivyojiramba Fiesta Bongo, yani ilikuwa full mamizuka, kiufupi Kat De Luna alifunikwa na Ngwea, Ngwea alibamba show kuliko yeyote....Nipeni deal masela tukamate mahela....e bwana naweza kusema Ngwea anatisha bado sana waliosema amekufa walikosea sana

Ludacris"Theater Of The Mind"To Be Released 1 Day Early!!


Island Def Jam is moving up by a day the release date for Ludacris’ "Theater of the Mind," the long awaited follow-up to Ludacris’ platinum album “Release Therapy.” The label says is an attempt to capitalize on the Thanksgiving shopping weekend.
The album was due Nov. 25 but will now come out off-cycle on Monday, Nov. 24 in both physical and digital formats.
Ludacris’ "One More Drink" co-starring T-Pain is currently No. 34 on Hot R&B/Hip-Hop Songs.
“Theater of the Mind” Track Listing
1. Intro 2. Undisputed co-starring Floyd "Money" Mayweather 3. Wish You Would co-starring T.I. 4. One More Drink co-starring T-Pain 5. Call Up The Homies co-starring The Game and Willy Northpole 6. Southern Gangsta co-starring Rick Ross, Playaz Circle and Ving Rhames 7. Everybody Hates Chris co-starring Chris Rock 8. What Them Girls Like co-starring Chris Brown and Sean Garrett9. Nasty Girl co-starring Plies 10. Contagious co-starring Jamie Foxx 11. Last Of A Dying Breed co-starring Lil Wayne 12. MVP 13. I Do It For Hip Hop co-starring Nas and JAY-Z 14. Do The Right Thang co-starring Common and Spike Lee

Digital Dimepiece:Lilian


Lilian, born and raised in San Diego, California, had a career as a mortgage broker but left it to pursue her passions. She started her own business and pursued a career in entertainment. She also dedicates time to mentoring young people. After the jump check out more pictures of this beauty who makes it clear she is more than just a pretty face.

What got you into modeling?
Ever since I was a child, I have been infatuated with the whole entertainment industry, as I started to grow as a woman I was approached by many people wondering if I modeled and when I told them I didn’t they suggested that I should, so I figured I’d try my hand.
What are your measurements (height, weight, waist line, etc…)?
5′6″34c bust26 waist39 hip
What are some of your interests?
I love all types of music, and have a passion for art. One of my favorite hobbies is drawing and doing tattoos. I study many different religions and learn more everyday about the power of the mind.
What do you think sets you apart from other models?
I am not saying that all models are stupid by any means; however, I am so much more than just a pretty face!!! I have intellect and a deep soul and a hustle mentality. As far as modeling is concerned, I am a chameleon! I can change my look and be someone different every day… people can never figure out what I am… Black? White? Hispanic? Asian?…
What is your nationality?
Filipino, Spanish & white

What's Next?A Black James Bond.



Daniel Craig, star of the current James Bond series, said in a recent interview that he thinks the world is ready for a Black James Bond. We love Craig’s rugged Bond, but would love to see a brotha play the suave Bond.

Monday, November 10, 2008

Makeba Hatunaye Tena Duniani!!!


Mwanamuziki mkongwe wa kutokea kwa Madiba(South Africa)Mirium Makeba amefuriki dunia kwa ugonjwa wa moyo..Mwanamziki huyo ambaye aliwahi kutamba kwa vibao vyake kama vile Pata Pata na Malaika ambacho alikiimba katika lugha ya kiswahili amefariki dunia inchini Italy.

Mungu aiweke roho ya marehem mahala pema peponi.

Amin.

Sunday, November 9, 2008

Goodbye Rap City!!!




Today, Saturday at 10 p.m., BET will air the finale of the long-running network staple, Rap City. BET announced the decision to end the show last month.
Former hosts including Chris Thomas aka “The Mayor”, Big Lez, Big Tigger, Mad Linx, and most recent host, Q-45 will all be in the house as will several rap stars who have been featured on the show over the years.
50 Cent, Busta Rhymes, Faboulous, E-40, LL Cool J, Bow Wow, Jadakiss, Ludacris, Talib Kweli, Young Jeezy, Wu-Tang Clan and Soulja Boy will all be there.
Rap City debuted in 1989.
More pictures of Big Lez, Mad Linx, Joe Clair Wu-Tang and more after the jump.


Baada Ya Alli Kiba,Sasa ni Matonya Europe Tour!!!


Baada ya wapenzi walipo inchi mbali mbali za Europe kupata uhondo toka kwa msanii wa muziki wa Bongo Flava Alli Kiba sasa ni wakati wao tena kujidai kwa kupata mikandamizo ya kimatonya matonya.Mwanamuziki Matonya anakaribia kuja kuwarusha watu wa Europe kwa ziara ilopewa jina la Matonya Europe Tour.

Haya mabinam wa Europe tukaeni mkao wa kula.Na ratiba ni kama ifuatavyo.

1.Belgium 7/11/08

2.France 8/11/08

3.Finlad 15/11/08

4.Norway 21/11/08

5.Berlin 22/11/08

6.Nederland 28/11/08

7.Frankfurt 29/11/08

Ni wakati wetu jamani kuja kujionea huyo aliyepewa jina la Tax Bubu,Vailet na Anita wapoje???